Maombi
Maombi ya nguvu kwa hali mbalimbali za maisha — yaliyoandikwa kwa Kiswahili na Kiingereza.Pia jifunze kupitia mafundisho yetu na usikilize mahubiri kuhusu maombi.Powerful prayers for different life situations, enriched with teachings and video sermons.
Haja za Moyo Wako
Haziko Peke Yake.
Tunani katika nguvu ya maombi ya pamoja. Timu yetu ya maombezi iko tayari kusimama nawe katika kila hitaji, kuanzia uponyaji hadi ufunguzi.(We believe in the power of corporate prayer. Our intercessory team is ready to stand with you in every need, from healing to breakthrough.)
Uponyaji
Kwa ajili ya afya na uzima.Healing & Restoration
Ushauri
Tunaweza kukuandikia.Counseling & Support
Je, unataka kuongea nasi moja kwa moja?
Piga: +255 652 796 450
Chagua Eneo la Maombi
Pata maombi yaliyoandaliwa kulingana na hitaji lako la kiroho au kimwili.
Uponyaji / Healing
Maombi ya uponyaji wa kimwili na kiroho. Prayers for physical and spiritual healing.
Ukombozi / Deliverance
Maombi ya ukombozi kutoka kwa nguvu za giza na minyororo ya kiroho. Prayers for freedom from dark forces and spiritual bondages.
Wokovu / Salvation
Maombi ya wokovu na kuanza upya na Mungu. Prayer for salvation and a new beginning with God.
Ndoa / Marriage
Maombi ya ndoa yenye nguvu, uponyaji wa mahusiano, na kupata mwenzi. Prayers for strong marriage, relationship healing, and finding a spouse.
Kazi / Employment
Maombi ya kupata kazi, mafanikio ya biashara, na baraka za kifedha. Prayers for employment, business success, and financial breakthrough.
Mafundisho ya Maombi
Jenga msingi wako wa maombi kwa kujifunza Neno la Mungu kuhusu maombi na kufunga.
MAOMBI YA UKOMBOZI KWA DAMU YA YESU | Deliverance Prayers
“Karibu kwenye maombi haya ya ukombozi kwa Damu ya Yesu Kristo. Damu ya Yesu ina nguvu ya kuleta uponyaji, uhuru, msamaha na ushindi dhidi ya nguvu zote za giza. Ungana nasi katika maombi haya na amini kwa moyo wako wote, kwa kuwa maandiko yanasema:”
Endelea KusomaMAOMBI YA UPONYAJI
“Haya ni maombi ya uponyaji kwa wagonjwa. Omba kwa imani utapokea uponyaji wako. "Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe hai kwa mambo ya haki; na kwa kupigwa kwake mliponywa." 1 Petro 2:24 Ubarikiwe sana.”
Endelea KusomaMahubiri ya Maombi
Sikiliza na utazame mahubiri yatakayoinua kiwango chako cha maombi.
Zidi Kujifunza
Endelea kunufaika na huduma zetu mbalimbali mtandaoni.
Ushuhuda / Testimonies
Soma na usikilize jinsi Mungu anavyotenda miujiza kupitia maombi.
Mahubiri / Sermons
Sikiliza mahubiri yatakayokujenga kiroho na kukuimarisha.
Mafundisho / Teachings
Jifunze zaidi kuhusu Neno la Mungu na misingi ya imani.
Ukuta wa Maombi / Prayer Wall
Ungana nasi kuombea mahitaji ya wengine na yako pia.

