Sala ya Toba / Salvation Prayer
Sema maneno haya kwa sauti na kwa imani: / Say these words aloud in faith:
“Bwana Yesu, ninakuja mbele zako. Ninakiri kwamba mimi ni mwenye dhambi. Ninaomba unisamehe dhambi zangu zote.”
“Ninaamini kwamba ulikufa msalabani kwa ajili yangu na ufufuka kwa ajili ya kuhesabiwa haki kwangu. Leo nakukaribisha moyoni mwangu.”
“Uwe Bwana na Mwokozi wa maisha yangu. Nifanye kuwa kiumbe kipya. Asante kwa kuniokoa. Amina.”
“Lord Jesus, I come before You. I confess that I am a sinner. Please forgive me for all my sins.”
“I believe You died on the cross for me and rose again for my justification. Today I welcome You into my heart.”
“Be the Lord and Savior of my life. Make me a new creation. Thank You for saving me. Amen.”