Ushuhuda wa Nguvu za Roho Mtakatifu

Matendo Makuu ya Mungu

"Na wao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao..."
— Ufunuo 12:11

Ushuhuda Wako ni Baraka

Shiriki Matendo makuu ya Mungu

Ushuhuda wako ni silaha ya ushindi na chombo cha kuimarisha imani ya wengine. Unaposhiriki kile Mungu amekutendea, unahuisha matumaini kwa walio katika mapito magumu.

"Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao..."

Ufunuo 12:11

Jiunge na mamia walioguswa

Andika Ushuhuda Wako

Jaza fomu hii kwa uaminifu. Utukufu ni wa Mungu pekee.

(I agree to share this testimony publicly.)

Loading reCAPTCHA security check...