Karama ya Unabii / The Gift of Prophecy
Unabii ni moja ya karama kuu za Roho Mtakatifu. Paulo anaamuru: "Tafuteni upendo, na kutaka sana karama za rohoni, lakini zaidi kwamba mtabiri" (1 Wakorintho 14:1).
Prophecy is one of the greatest gifts of the Holy Spirit. Paul commands: "Follow the way of love and eagerly desire gifts of the Spirit, especially prophecy" (1 Corinthians 14:1).
Kazi za Unabii (1 Wakorintho 14:3):
• Kujenga (Edification) — Kuimarisha imani ya kanisa. Building up the church's faith.
• Kufariji (Comfort) — Kuleta uponyaji wa moyo kwa waliojeruhiwa. Bringing healing to hurting hearts.
• Kushauri (Exhortation) — Kutia moyo na kuonya. Encouraging and warning.